> FANYA HIVII SIMU ITAMKE MAJINA YA WATAKAO KUPIGIA - GO DIRECTORS

FANYA HIVII SIMU ITAMKE MAJINA YA WATAKAO KUPIGIA

 

  • FANYA HIVIII SIMU ITAMKEE JINA LA MTU ANAYE KUPIGIA.

    unacho takiwa kufanya kweny simu yako nenda kweny (settings).

    scroll chini kabsa mpka sehemu imeandikwa (assessibility).

    >then utaenda sehemu imeandikwa (interaction & dexterity) >utaenda sehemu imeandikwa (answering&ending calls)

     

    HAPOO JUU KABSA KUNA SEHEMU IMEANDIKWA (READ CALLER NAME ALOUD)

    HAKIKISHA UMEWEKA ON NA CHIN UTAWEKA ALWAYS .

    HVO ITAKUWA IKITAMKA KIJA LA MTU ALIE KUPIGIA ALWAYS HATA UKIWA NA EARPHN n.k kama utakuwa na swali lolote kuhusu hiki uliza kwenye group nitakujibu au wengine watakusaidia zaidi.

     

    by:go directors.

  • Post a Comment

    Previous Post Next Post

    Post Ads 1

    Post Ads 2